Mahafali Ya Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Ursuline- Njombe – Nyombo 2021

Mahafali Ya Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Ursuline- Njombe – Nyombo 2021

Mahafali Ya Kwanza Mnamo tarehe 18/09/2021 shule ya sekondari ya wasichana Ursuline inayomilikiwa na masista wa shirika la Mtakatifu Ursula wa Maria Imakulata, ilifanya mahafali yake ya kwanza ya kidato cha nne yakiongozwa na mgeni rasmi Mama Pindi Chana mbunge wa viti maalumu . Katika mahafali haya wanafunzi 27 wasichana walihitimu. Mahafali hayo yalifana sana…