class VII 2023 on their valedictory function.




Mahafali Ya Kwanza Mnamo tarehe 18/09/2021 shule ya sekondari ya wasichana Ursuline inayomilikiwa na masista wa shirika la Mtakatifu Ursula wa Maria Imakulata, ilifanya mahafali yake ya kwanza ya kidato cha nne yakiongozwa na mgeni rasmi Mama Pindi Chana mbunge wa viti maalumu . Katika mahafali haya wanafunzi 27 wasichana walihitimu. Mahafali hayo yalifana sana…
Ursuline nursery and primary school left side Sr.Angeline (School manager) , Sr Susan ( Headmistress), right side School chair person board( Miss. Stella miti) and chief of guest Education officer..